Skip to main content

FAIDA ZA KUTUMIA MBOLEA ASILI (organic fertilizer)

GREEN  ORGANIC PLUS FERTILIZER

Hii ni mbolea isiyo na kemikali hatakidogo, ni mbolea iliyotokana na viumbe hai yani wanyama na miea. Mbolea hii imetengenezwa baada ya utafiti wa kina kufanyika nchini Marekani na kutengenezwa katika viwanda bora zaidi.



Mbolea hii haina madhara kwa binadamu wala wanyama hivyo unaweza kula mazao yako hata baada ya kuitumia, pia imesheheni virutubisho vingi kama vichochezi au hormoni,vitamini na madini yote muhimu ambayo huhitajika katika mmea yani macronutrients na micronutrients wakati mbolea nyingi za viwandani huwa na macronutrients tu.

Mbolea hii huhifadhiwa katika ujazo wa liter mmoja(1)

VIAMBATA MUHIMU VYA MBOLEA HII
Kwakuwa imezingatia mahitaji yote ya mmea ikiwa ni pamoja na virutubisho vyote vinavyohitajika kwa wingi katika mmea (macro nutrients) bolea hii ina Nitrogen, Phosphorus, Potassium, Calcium, Magnesium na Sulpher.

Pia mbolea hii ina(micro nutrients) yani madini au virutubishi vyote vinavyohitajika kwa kiwango kidogo katika mmea vikiwa ni Zinc, Ferrous,Copper, Boron,Manganese, Silicon,Molybdenum,Sodium, Cobalt na Chlorine.

Kwakuwa Amino acids ni muhimu katika ukuaji wa mmea, mbolea hii imesheheni aina zote nane za amino acids.Amino acids huusaidia mmea kukua haraka,kuwa na ujazo mkubwa,huusaidia mmea kupambana na magonjwa na nivigumu kuathiriwa na magonjwa mbalimbali.

                MAZAO GANI UNAWEZA KUITUMIA MBOLEA HII?!!!

Mbolea hii hutumika kunyinyizia mazao au mimea yote haibagui!!!!! hivyo unaweza kuitumia kwa mazao kama nafaka(mahindi,mpunga,ngano,mtama,ulezi n.k),jamii ya mikunde(maharage,kunde,mbaazi,choroko,dengu, n.k) maua,majani ya bustani,miti ya matunda(maembe,mapera,malimau,mapapai n.k) mboga mboga za majani na mazao yenye kutoa matunda(matikitimaji,vitunguu,nyanya,hoho,pilipili,kabeji,spinachi n.k),mazao yanayohifadhi chakula chake ardhini(viazi,vitunguu, karanga,mihogo,njugu mawe,mananasi n.k)mazao ya biashara(pamba,alzeti,karafuu, korosho na kahawa) na mengine mengi.

MATUMIZI YA MBOLEA HII
~Mbolea hii hutumika kwa kuinyunyizia katika mazao na wakati mwingine kulowekea mbegu.

~Mbolea hii huweza kutumika kwa kupandia na kukuzia mazao.

~Kutokana na mbolea hii kusheheni virutubisho vingi zaidi katika ujazo mdogo,unapata fursa ya wewe mtumiaji kuichanganya na maji mengi kabla ya kuitumia ili uweze kuitumia katika eneo kubwa na uwe na matumizi mazuri ya pesa zako.

~Chupa moja(1) ya mbolea utaitumia katika hecta 6.7 au heka 16.5 ninasema hivyo kwa kuwa;
1.Unaweza kuchanganya liter 1 ya mbolea katika liter 1,000/= za maji

2.kama shamba shamba ni dogo yani heka unaweza kuchanganya kifuniko cha mbolea yani mils 50 za mbolea kwa liter 50 za maji nyunyiza mpaka umalize kisha changanya tena kama shamba halijakamilika

3.kama ni kijibustani unaweza kuchanganya 5mils/5cc za mbolea na ukachanganya na liter 20 za maji.

NB:mbolea hii haiunguzi mazao wala haina madhara kwa mmea hata ikizidishwa vipimo

WAKATI GANI UITUMIE AU UNYUNYIZE MBOLEA HII?
Unashauriwa unyinyizie mazao yako katika majani wakati wa alfajiri mpaka asubuhi ambapo jua halijawa kari na wakati wa jioni wakati jua limezama,hii nikwa sababu mmea utafyonza mbolea yote na virutubisho vyote kwani stomata zitakuwa wazi na madini au virutubisho ya mbolea havitaharibiwa kwa jua

~Unashauliwa uichanganye na maji wakati unataka kuitumia,iwapo itabaki mfano ni Ć subuhi basi itumie siku hiyohiyo jioni unyunyizie.

JINSI YA KUNYUNYIZIA MBOLEA HII

Kuna njia nyingi sana zikiwemo;
~Kubeba kifaa mgongoni chenye dumu na bomba na ukanyunyizia shamba lako.

~Unaweza kumwagilia mbolea katika mazao kwa njia ya drip(drip irrigation)
~ katika shamba la miti mirefu unaweza kunyunyiza katika mizizi na matawi

~kutafuta utaratibu wakutengeneza mfumo wa kunyunyiza kama mvua inyeshavyo hasa kama mazao ni mafupi au shamba kubwa sana kama la Maua na mbogamboga.


HAYA NI MANEENO YA BWANA JOHN KUTOKA SONGEA AKIRUDISHA USHUHUDA BAADA YA KUTUMIA MBOLEA HII YA GREEN ORGANIC FERTILLIZER NA KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA MAVUNO.


MATOKEO/ MABADILIKO
Baada ya kuitumia mbolea hii matokeo mazuri utayaona mapema sana yani baada ya siku saba (7)

FAIDA YA MBOLEA HII;

MBOLEA HII INAKUHAKIKISHIA MAMBO MENGI YAKIWEMO;

~KUONGEZA UWEZO WA MIMEA KUFYONZA MADINI LISHE MBALIMBALI KUTOKA KATIKA UDONGO NA PIA KUOTESHA MIZIZI NA MATAWI HARAKA.

 ~KUONGEZA UWEZO WA MIMEA KUJITENGENEZEA CHAKULA CHAKE.

~HUONGEZA RUTUBA YA SHAMBA LAKO NA INAHIFADHI UNYEVU KWA MUDA MREFU PIA HURUDISHA PH YA UDONGO KUFIKIA KIWANGO KINACHOHITAJIKA KWA MMEA YANI KATI YA 6-8

~HUWEZESHA MIMEA KUHIMILI UPEPO MKALI,UKAME,BARIDI NA MAGONJWA

~ HUFANYA MIMEA KUOTA MAPEMA NA IWE NA AFYA NJEMA N.K

~HUONGEZA THAMANI YA MAZAO YAKO KWANI HUWA MENGI,MAKUBWA,YENYE RANGI NA RADHA NZURI NA YENYE KUVUTIA SANA.

Gharama za mbolea kwa chupa 1 ni sh 95,000/= kwa rejareja. na sh 90,000/= kwa chupa kuanzia 3.
Ofisi yetu ipo hapa maeneo ya Karume Machinga Complex Dar es salaam lakini kama upo mkoani usipate shaka tutakutumia mzigo baada ya kufanya malipo. 

Tuandikie kwa namba 

 0714206306 na 0627454517






Comments

Popular posts from this blog

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60...

JINSI YA KUGUNDUA NA KUTHIBITI VIDONDA VYA TUMBO( PEPTIC ULCER)

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Tunashukuru kwa kuendelea kufatilia makala zetu, kwa maoni na ushauri ama uhitaji wa kufika ofisini basi endelea kutuandikia kwa namba  0714206306 .  Kupata ufahamu mpana juu ya vidonda vya tumbo ni vema kuelewa kwanza mfumo unaohusika na tumbo ambao ni umen'genyaji wa chakula. Sehemu kuu zinazohusika katika umen'genyaji huo ni kinywa,umio ambayo ni misuli wenye urefu wa sentimeta 23 ambao huunganisha koromeo na tumbo'esophagus',mfuko wa nyongo na sehemu ya mwanzo ya utumbo mdogo'duodenum',utumbo mdogo,kongosho,utumbo mpana na sehemu ya mwish oni ya utumbo'rectum'. Mfumo wa mmen'genyo wa chakula hasa kuta za umio,tumbo na utumbo mwembamba hupata mmomonyoko ambao husababishwa na tindikali inayotumika kumen'genya chakula inaposhambulia kuta hizo, hii ndiyo vidonda vya tumbo'Peptic Ulcers',vidonda vya mfumo wa umen'genyaji chakula vikiwa kwenye tumbo ni 'Gastric Ulcer'vikiwa kati...

Kisonono ni nini ?, je kuna Tiba ya kisonono ?

Nini maana ya kisonono, je naweza kupata tiba sahihi ya kisonono?  Soma makala jii upate kujifunza na kupata ueewa juu ya tatizo la kisonono ambalo limeathiri watu wengi sana kwa sasa hasa vijana wa kiume. Kisonono au kwa lugha ya kitaalamu Gonorrhea ni moja ya ugonjwa wa ngono ambao huambukizwa baada ya mtu mmoja mwenye ugonjwa kukutana kimwili mtu mwingine mzima. Kisonono mara nyingi husababisha maumivu makali na dalili zingine mbaya kwenye via vya uzazi na sehemu zingine kama, sehemu ya haja kubwa, macho na pia maumivu ya viungo. Ugonjwa huu wa kisonono huweza kuwapata watu wa jinsia zote wanawake kwa wanaume huku tafiti zikionesha kwamba wanaume ndio wanaoongoza kuambukizwa kuliko wanawake. Nnini husababisha kinonono au Gonorrhea?? Ugonjwa huu wakuambukizwa kwa njia ya ngono husababishwa na bacteria wanaoitwa Neisseria gonorrhoeae. Na hivo pale watu wanapokutana kingono bacteria hawa huweza kusambaa kwenda kwa mtu mwingine kutokana na msuguano wa viungo laini vya uza...