Skip to main content

Posts

Showing posts from December, 2015

HATUA TANO ZA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME KATIKA NDOA YAKO

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Napenda kukukaribisha tena katika jukwaa langu la afya yako, leo hii napenda nizungumzie tatizo ambalo limekuwa ni kubwa sana kupita kiasi kwa kila mtu, tatizo ambalo linayumbisha na kuweka ndoa matatani, usiwe miongoni mwa watu wenye upungufu wa nguvu za kiume, yote hayo utayaepuka kwa kufuata ushauri huu ulio badili maisha ya watu wengi na bado elimu hii inaendelea kutoa shuhuda kwa kila mtu aliyekuwa na tatizo hili. Tatizo la nguvu za kiume hapo zamani za kale na tafiti za kisayansi zinaonesha ni matokeo yanayotokea uzeeni, yaani  kuwa ni jambo la kawaida kwa umri mkubwa, lakini napenda nikwambie kuwa uzeeni ambao unaambatana na magonjwa sugu kiasi hicho ni moja wapo ya sababu nikuweke kwenye kundi la watu wanaozeeka vibaya. Kwa kawaida binadamu hastahili kuzeeka na magonjwa, tunazeeka na magonjwa kwa sababu tunayasababisha sisi kwa maisha ya kifahari tunayoishi na kusahau kuwa afya yako sio hazina ya milele,unatakiwa

FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST )

MAELEZO YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UVIMBE KWENYE MAYAI YA MWANAMKE Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst. Uvimbe huu unaweza kumtokea mwanamke wa umri wowote ingawa mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito. MAYAI YA MWANAMKE  Kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto. Mayai haya hupatikana pembezoni mwa mfuko wa uzazi (uterus). Mayai haya huanza kuzalisha mayai ya uzazi yanayojulikana kama ovum  ambapo mayai hayo ya uzazi hukuwa ndani ya mayai ya mwanamke (ovary) kwa kuchochewa na baadhi ya homoni.  Katikati ya mwezi, siku ya kumi na nne, saa 24-36 baada ya kiwango cha kichocheo aina ya Luteinizing Hormone kuwa juu, mayai ya uzazi hutolewa katika kila ovari na hii

MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO AU URINARY TRACT INFECTION (U.T.I)

Njia ya mkojo ni eneo linalojumuisha eneo la nje la utupu hadi katika kibofu cha mkojo mpaka katika figo. U.T.I ni  maambukizi katika njia ya mkojo yanayosababishwa na bacteria waitwao Escherichia coli ( E.coli)  mara nyingi bacteria hawa hupatikana katika utumbo mpana au katika haja kubwa (Gastro intestinal tract GI) na bacteria wengine kama staphylococcus,saprophyticus, enterobacter n.k wakifanikiwa kuingia, kusambaa, kuushambulia na kuuathiri mfumo wa mkojo. Pia U.T.I huweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa kama herpes,gonorrhea,chlamydia n.k Kutokana na kuwa urethra ya wanawake (njia ya mkojo) kuwa karibu na njia ya haja kubwa  wanawake huathirika au hupatawa na U.T.I zaidi Kuliko wanaume, makundi mengine ambayo wako katika Atari ya kuambukizwa ugonjwa huu ni watoto wadogo na wanaume wasio tahiriwa. AINA ZA U.T.I Aina hizi za U.T.I  hutegemea ni katika  eneo gani katika njia ya mkojo iliyo athiriwa hivyo kuna ; ~MAAMBUKIZI KATIKA KIBOFU CHA MKOJO(CYSTI

UGONJWA WA FANGASI UKENI (VAGINAL CANDIDIASIS)

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU TATIZO LA FANGASI UKENI Habari za leo ndugu msomaji wa page hii,kutokana na kupokea maoni na maswali yenu leo nimependa kuzungumzia ugonjwa wa fangasi ukeni ambao ni common hususani kwa wanawake, maambukizi ya fangasi sehemu za siri imekua ni tatizo kubwa sana Duniani 75%ya wanawake wote Duniani wanasumbuliwa na tatizo hili maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na fangasi aina ya CANDIDA ALBICANS , maambukizi haya pia hujulikana kama YEAST INFECTIONS /THRUSH CANDIDA ALBICANS hupatikana katika midomo, mpira wa kupitishia Chakula (PHARYNX), kibofu cha mkojo, uume au katika uke pia. ~bacteria Hawa huishi katika sehemu hizo Bila kuleta madhara, isipokua pale mazingira ya eneo husika, yanapobadilika, MFANO mabadiliko katika Hali ya PH tutambue PH ya mwanamke ndani ya uke ni 4.0_4.5 au uwiano wake na vimelea (microorganisms) wengine, hivyo huharibiwa kutokana na sababu mbalimbali kama vile MATUMIZI YA MADAWA YA ANTIBIOTICS k