Skip to main content

MAAMBUKIZI KATIKA NJIA YA MKOJO AU URINARY TRACT INFECTION (U.T.I)



Njia ya mkojo ni eneo linalojumuisha eneo la nje la utupu hadi katika kibofu cha mkojo mpaka katika figo.

U.T.I ni  maambukizi katika njia ya mkojo yanayosababishwa na bacteria waitwao Escherichia coli ( E.coli)  mara nyingi bacteria hawa hupatikana katika utumbo mpana au katika haja kubwa (Gastro intestinal tract GI) na bacteria wengine kama staphylococcus,saprophyticus, enterobacter n.k wakifanikiwa kuingia, kusambaa, kuushambulia na kuuathiri mfumo wa mkojo. Pia U.T.I huweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa kama herpes,gonorrhea,chlamydia n.k

Kutokana na kuwa urethra ya wanawake (njia ya mkojo) kuwa karibu na njia ya haja kubwa  wanawake huathirika au hupatawa na U.T.I zaidi Kuliko wanaume, makundi mengine ambayo wako katika Atari ya kuambukizwa ugonjwa huu ni watoto wadogo na wanaume wasio tahiriwa.

AINA ZA U.T.I


Aina hizi za U.T.I  hutegemea ni katika  eneo gani katika njia ya mkojo iliyo athiriwa hivyo kuna ;
~MAAMBUKIZI KATIKA KIBOFU CHA MKOJO(CYSTITIS)/ INFECTION OF THE BLADDER
~ MAAMBUKIZI KATIKA URETHRA (AU NJIA YA MKOJO KUTOKA KATIKA KIBOFU MPAKA NJE YA ENEO LA UTUPU KUPITIA UKE AU UUME)

VISABABISHI VYA KUUGUA UTI


Kuna vitu au mazingira mbali mbali yanayoweza sababisha mtu kupatwa na ugon
jwa wa U.T.I kama ifuatavyo;

1.Kufanya mapenzi hasa  bila kinga hii nikwasababu wakati wa tendo la ndoa bacteria ni rahisi sana kusambaa ktk urethra

2. Kubana mkojo yani kutokwenda haja wakati umebanwa na mkojo kwa muda mrefu ambapo husababisha misuli ya kibofu kupunguza uwezo wake na hivyo nirahusi kuambukizwa U.T.I

3.Upungufu wa hormoni za oestrogens kwa wanawake, husababisha bacteria kuzaliana kwa urahisi

4.Ujauzito na ukomo wa hedhi

5.kisukari

6.Kutokunywa maji mengi ya kutosha

7.uchafu(vyoo, nguo za ndani,kuingiza vidole vichafu)

8.matumizi ya dawa za antibacteria kwa muda mrefu.

9. Matumizi ya vitu vya kemikali ukeni (pads,sabuni,manukato n.k)

10.maambukizi katika via vya uzazi( uke na vulva)


DALILI  ZA UGONJWA WA U.T.I


1.Maumivu makali au kuwaka moto wakati wa kukojoa

2.Kukojoa mkojo kidogo sana na wakati mwingine ukiwa umechanganyika na damu

3.kubanwa sana ghafla na mkojo

4.maumivu ya Mgongo,Tumbo la chini na katika nyonga

5.kuchoka ovyo,kukosa hamu ya kula na kukosa hamu ya kufanya mapenzi

6.Kukojoa mara kwa Mara kama mara sita au zaidi kwa siku

7.kukojoa mkojo wenye harufu mbaya

8.Matatizo ya figo endapo vijidudu vitasambaa mpaka kwenye figo na kusababisha; homa,kichefuchefu,kutapika n.k

NAMNA YA KUJIKINGA ILI USIPATE UTI MARA KWA MARA

[i] kunywa maji mengi, kiasi cha lita 3 kwa siku, maji husaidia kuflashi bacteria mara kwa mara ambao wanakuwa wamesalia katika njia ya mkojo hvyo kuepusha maambukizi.
[ii] kwa wanawake haikisha unaenda haja ndogo baada ya tendo la ndoa, ili kuodoa bacteria kwenye njia ya mkojo na kupunguza kasi ya kusambaa kwa bacteria.
[iii] kwa wanawake pia hakikisha unapotumia tissue ama wipes baada ya kwenda haja unajifuta kutoka mbele kwenda nyuma(front to back wiping) ili kuzuia kuhamisha bacteria kutoka kwenye njia ya haja kubwa kwenda kwenye njia ya mkojo.
[iv] Pia epuka matumizi ya maji kwenye vyoo vya umma ama jumuiya.

MATIBABU

Matibabu yapo na watu hupona ninakushauri upate vipimo na ushauri wa madakitari au na washauri wa afya kabla haujapata tiba.
1.Mara nyingi tiba za mahospitali huwa hazimalizi tatzo kutokana na kwamba hazitibu chanzo cha tatzo, hvo hupelekea watu wengine tatzo kuwa sugu na kujirudiarudia baada ya mda mfupi.
Tatzo hili huweza kumalizwa vzuri kama mgonjwa akitumia tiba ya mimea na matunda ambayo imetengenezwa kwa technologia  rafiki.

Dawa ya Garlic oil Capsule

Kazi na faida ya Garlic oil capsule kwa Mgonjwa wa UTI

  • Kupambana na bacteria wabaya na fangus kwenye mwili na 
  • Kuimarisha Afya ya mwili kwa kuimarisha kinga.
  • Yafaa zaidi kutumiwa na wenye magonjwa kama UTI,TB, PID, fangasi na pneumonia

Tupige kwa namba 

0714206306

 huduma ya dawa zetu za asili

Tiba ni Tsh 75,000/=  

Bofya hapa Kuchati na Daktari kwa whatsapp


Kumbuka kushare makala hii ili watu waelimike zaidi.

Usiache kupitia somo letu linalofuata: Maambukizi kwenye njia ya uzazi husababisha ugumba na kutokwa na uchafu ukeni

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUGUNDUA NA KUTHIBITI VIDONDA VYA TUMBO( PEPTIC ULCER)

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Tunashukuru kwa kuendelea kufatilia makala zetu, kwa maoni na ushauri ama uhitaji wa kufika ofisini basi endelea kutuandikia kwa namba  0714206306 .  Kupata ufahamu mpana juu ya vidonda vya tumbo ni vema kuelewa kwanza mfumo unaohusika na tumbo ambao ni umen'genyaji wa chakula. Sehemu kuu zinazohusika katika umen'genyaji huo ni kinywa,umio ambayo ni misuli wenye urefu wa sentimeta 23 ambao huunganisha koromeo na tumbo'esophagus',mfuko wa nyongo na sehemu ya mwanzo ya utumbo mdogo'duodenum',utumbo mdogo,kongosho,utumbo mpana na sehemu ya mwish oni ya utumbo'rectum'. Mfumo wa mmen'genyo wa chakula hasa kuta za umio,tumbo na utumbo mwembamba hupata mmomonyoko ambao husababishwa na tindikali inayotumika kumen'genya chakula inaposhambulia kuta hizo, hii ndiyo vidonda vya tumbo'Peptic Ulcers',vidonda vya mfumo wa umen'genyaji chakula vikiwa kwenye tumbo ni 'Gastric Ulcer'vikiwa kati...

Kisonono ni nini ?, je kuna Tiba ya kisonono ?

Nini maana ya kisonono, je naweza kupata tiba sahihi ya kisonono?  Soma makala jii upate kujifunza na kupata ueewa juu ya tatizo la kisonono ambalo limeathiri watu wengi sana kwa sasa hasa vijana wa kiume. Kisonono au kwa lugha ya kitaalamu Gonorrhea ni moja ya ugonjwa wa ngono ambao huambukizwa baada ya mtu mmoja mwenye ugonjwa kukutana kimwili mtu mwingine mzima. Kisonono mara nyingi husababisha maumivu makali na dalili zingine mbaya kwenye via vya uzazi na sehemu zingine kama, sehemu ya haja kubwa, macho na pia maumivu ya viungo. Ugonjwa huu wa kisonono huweza kuwapata watu wa jinsia zote wanawake kwa wanaume huku tafiti zikionesha kwamba wanaume ndio wanaoongoza kuambukizwa kuliko wanawake. Nnini husababisha kinonono au Gonorrhea?? Ugonjwa huu wakuambukizwa kwa njia ya ngono husababishwa na bacteria wanaoitwa Neisseria gonorrhoeae. Na hivo pale watu wanapokutana kingono bacteria hawa huweza kusambaa kwenda kwa mtu mwingine kutokana na msuguano wa viungo laini vya uza...

UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE

 FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST ) Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst. Uvimbe huu unaweza kumtokea mwanamke wa umri wowote ingawa mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito. MAYAI YA MWANAMKE  Kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto. Mayai haya hupatikana pembezoni mwa mfuko wa uzazi (uterus). Mayai haya huanza kuzalisha mayai ya uzazi yanayojulikana kama ovum  ambapo mayai hayo ya uzazi hukuwa ndani ya mayai ya mwanamke (ovary) kwa kuchochewa na baadhi ya homoni.  Katikati ya mwezi, siku ya kumi na nne, saa 24-36 baada ya kiwango cha kichocheo aina ya Luteinizing Hormone kuwa juu, mayai ya uzazi hutolewa k...