Skip to main content

TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO (KIDNEY STONES)

MAELEZO YA UTANGULIZI

Figo ni kiungo muhimu katikamwili wa binadamu, hufanya kazi ya kuchuja damu huku ikiondoa sumu zote za mwili ,figo hufanya kazi ya kurekebisha kiasi cha maji mwilini (electrolyte level).
Kabla damu haijapita katika figo, huwa imebeba maji na taka taka nyingi sana (urea) ,lakini inapopita katika figo huchujwa na vitu muhimu hurudishwa katika mzunguko wa damu lakini,masalia mengine ambayo hayafai tena katika mwili ikiwani pamoja na kiwango cha maji kilichozidi hupitishwa kwenye mirija miwili (ureters)kuelekea kwenye kibofu ( urinary bladder) nakisha  kutolewa nje ya mwili kupitia njia ya mkojo (urethra)

Mkusanyiko wa kemikali hizi  (chemical crystals), wakati mwingine hugandamana na kutengeneza chembechembe ya vitu kama mchanga,kadri siku zinavyozidi kuendelea ndivyo vinavyozidi kukua hadiwengine hufikia hatua ya kuziba njia ya mkojo katika figo yenyewe (neprone) au kwenye mirija yakupeleka mkojo kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu (ureteter), hapo ndipo mtu anaanza kupata shida ya kukojoa na kusikia maumivu makali.

DALILI ZA UWEPO WA MAWE KWENYE FIGO

Mtu mwenye mawe kwenye figo huonyesha dalili zifuatazo;

  • Maumivu ya mgongo na kiuno
  • Mkojo kutoka ukiwa na rangi ya damu
  • Kutokwa na jasho wakati wa usik
  • Kupatwa na homa kali kwa wakati flani ikiambatana na kutetemeka mwili
  • Kuhisi kichefuchefu na kutapika
  • Mkojo kuwa na harufu kali
  • Maumivu makali sehemu za mbavu
  • Miguu kujaa maji/kuvimba.
  • Maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kushoto au kulia kutegemea ni figo ya upande gani iliyoathirika.
  • Maumivu makali unapogusa upande wa figo iliyoathirika.


KISABABISHI CHA MAWE KATIKA FIGO (KIDNEY STONES);

1.Matumizi ya baadhi ya dawa husababisha mtu kupata mawe katika figo pindi anapozitumia kila mara.
2.Utumiaji  wa vyakula vyenye kuongeza vitamin A na D, ambavyo huongeza kwa kiasi kikubwa madini joto mwilini
3.Kuishi kwenye mazingira ya joto sana bilakupata maji ya kutosha husababisha kiasi cha chemical kuongezeka katika figo na kusababisha zigandamane na kutengenezamawe ndani ya figo.
4.Maambukizi ya magonjwa ya figo kama renal tubulaacidocisctc, huongeza hatari ya kupata tatizo hilo.
5.Kurithi kutoka kwawazazi (wanakuwa na homoni ziitwazo antiduretic hormone)zisizoweza kufanya kazi yakuchuja damu kikamilifu na mwishowe hutengeneza mawekatika figo.
6.Utumiaji wa vyakula vyenye protinkwa wingi zinazotokana na wanyama na chumvi nyingi (huongeza hatari ya kupata tatizo hili)
7.Unene kupita kiasi

VIPIMO VYA KUGUNDUA UWEPO WA MAWE KWENYE FIGO

1.Mgonjwa kufanyiwa X-Ray au scan
2.Vipimo vya damu (blood test)
3.Vipimo vya mkojo (urenarlulisis)
Tiba  za tatizo hili la figo huwa ni gharama sana kiasi kwamba watu wengi wanshindwa kuzimudu.
Dawa zilizotengenezwa na mimea na zenye ubora mkubwa basi zina uwezo wa kutibu tatizo hili vizuri endapo utaliwahi mapema.
Baadhi ya dawa hizi ambazo hupatikana ofisini kwetu ni
a. TONIFYING
b.KODICEPS
c. CHITOSA

Dawa hizi mbali na kutibu matatizo ya mawe katika figo zinauwezo wa;
1. kutibu saratani ya kizazi stage ya kwanza ,kusafisha mirija ya uzazi na kutoa maji katika mirija hiyo
2.Uvimbe ndani ya mwili
3.Kurekebisha hedhi iliyovurugika kwa akina mama (hasa waliowahi kutumia dawa za uzazi wa mpango)
4.Saratani ya ini na kibofu cha mkojo
5.Kusafisha mfumo mzima wa njia ya mkojo
6.Huwasaidia akina mama wenye kasoro mbalimbali katika via vyauzazi.

Kirutubisho cha Kidney Tonifying

Kazi na Faida ya Kidney Tonfying (women & men)

  1. Kuimarisha uwezo wa figo katika kuchuja
  2. Kuondoa sumu na mawe vilivyojikusanya kwenye figo
  3. Kuongeza ubora na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke na mwanaume na
  4. Kutibu magonjwa mbalimbali ya figo.


Dawa hii ni Tsh 150,000/=


Karibu ufike ofsini kupata dawa yako usafishe figo

Tupigie kupitia namba 

0714206306 

Bofya hapa Kuchati na Daktari kwa Whatsapp


 kama upo mkoani basi ondoa shaka maana utatumiwa dawa baada ya kufanya malipo.

Usiache kufuatilia makala yetu mpya: Namna mgonjwa wa mawe kwenye figo anavoweza kuepuka kupata gout



Comments

Popular posts from this blog

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, CHANZO NA TIBA YAKE

Uke wa mwanamke hufanya kazi ya kutoa njia kati ya sehemu ya nje ya mwili na viungo vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hali ya kawaida ya majimaji yaliyomo katika uke wa mwanamke huwa ni ya tindikali ili kuzuia maambukizi ya vijidudu wa kuleta maradhi. Hali hii ya utindikali huletwa na bacteria waishio katika uke wa mwanamke. Bacteria hawa ni wa kawaida na hawana madhara kwa mwili. Uke ulio katika hali nzuri hutoa majimaji haya ili kujisafisha. Majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni. Kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kitu cho chote ambacho kitaharibu uwiano wa utengeneaji wa majimaji haya ndani ya uke kinaweza kujenga mazingira ya maambukizi katika uke. Uchafu Wa Sehemu Za Siri  Wa Kawaida Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, ra

JINSI YA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME KWA KUTUMIA VYAKULA HIVI VI 5

Maelezo ya utangulizi. Kichocheo cha testosterone, japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme pia.kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone kupungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. .KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA , KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika, mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzia mwanga wa asubuhi wakati jua ndo linachomoza na pia lile jua la jion karibia na kuzama, hivyo utakubaliana na mimi kuwa wengi wet

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60