Skip to main content

UZITO MKUBWA NA KITAMBI VINABABISHA KARIBU WATU NUSU MILIONI KUUGUA SARATANI DUNIANI KOTE


MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU TATIZO LA UZITO MKUBWA NA KITAMBI

Karibu 30% ya watu wote duniani wana uzito uliopitiliza na vitambi na hii imepelekea matokeo makubwa katika ugonjwa wa saratani ama kansa. Repoti  moja inasema kwamba inakadiriwa kuwa uzito mkubwa na kitambi vinachangia karibu watu 500,000 wenye saratani kila mwaka. Theluthi mbili ya kesi hizi za saratani zinatokea Ulaya na Amerika ya kaskazini. Wanawake wakiwa kwenye hatari kubwa zaidi ukilinganisha na wanaume, aina hizi za saratani ya shingo ya kizazi, saratani ya utumbo mpana, na saratani ya matiti. Kutokana na tafiti hizi inaonesha kwamba ifikapo mwaka 2030 basi karibu nusu ya watu wazima duniani watakuwa na uzito mkubwa na vitambi.

Kansa au saratani siyo tatizo moja tu linaloletekezwa na uzito mkubwa na vitambi bali kuna magonjwa mengine mengi yanayoambatana ikiwemo, kisukari aina ya 2, matatizo ya kupata usingizi na kukoroma usingizini, uvimbe kwenye kizazi, ngiri, Matatizo katika njia ya mkojo, Stroke, Upungufu wa nguvu za kiume, Magonjwa ya Moyo, Pumu, Magonjwa ya Joints na mifupa na mengine mengi . Uzito mkubwa husababisha kutofanya kazi vizuri kwa mifumo ya mwili, kufeli kwa utendaji huo ndipo unaletekeza magonjwa yaliyotajwa hapo juu.

NINI HASA KINACHOPELEKEA UWE NA UZITO  MKUBWANA KITAMBI??

Kabla ya kuendelea nataka uelewe kwanza maana ya neno kalori, kalori ni kiasi cha nguvu (energy) kinachozalishwa baada ya kuunguzwa kwa chakula. Uzito mkubwa na kitambi siyo tu  kwamba ni ulaji wa kalori nyingi na kutokufanya mazoezi ya kutosha. Mtindo wa maisha na mazingira yanachangia pia kwa kiasi kikubwa. Kutokufahamu kisababishi cha tatizo hili kimewapelekea wengi kuwa wahanga wa tatizo pasipo kujua mlango wa kutokea. Sababu hizi za kimazingira  ni kama

  • .      Matumizi makubwa za dawa za kuua bacteria kwenye utengengenezwaji wa chakula na           madawa.
  •        Dawa zinazotumika kusisimua ukuaji wa wanyama wa chakula kama Ng’ombe na kuku.
  •       Kemikali zinazovuruga mfumo wa homoni mfano dawa za kuua wadudu kwenye nafaka.
  •       Sukari inayohifadhiwa kwenye vyakula vya viwandani
  •       Matumizi ya vyakula visivyokuwa salama mfano vyakula vilivyosindikwa kwa kiasi kikubwa
  •     Kama unataka kushugulikia swala lako la uzito na hivo kupunguza hatari ya kuugua saratani basi huna budi kutazama kwa makini unachoweka mdomoni kila siku.

SHERIA ZA KUFUATA ILI KUZUIA KITAMBI NA UZITO MKUBWA NA HIVYO KUZUIA HATARI YA SARATANI

Kwa bahati nzuri ni kwamba magonjwa haya yote yanazuilika endapo utakuwa makini kufuata sheria. Kinga pekee ndio bora kuliko tiba hii inajumuisha kuzuia uongezekaji holela wa uzito. Kwa kufata sheria hizi basi naamini utakuwa umepunguza kwa kiasi kikubwa hatari ya kuongezeka uzito na saratani

  • Hakikisha unanunua vyakula asili na uvipike mwenyewe jikoni kwako. Kwanza hii itapunguza matumizi ya sukari ambayo ndio chanzo kikubwa cha kufeli kwa insulin kufanya kazi na kuongezeka kwa uzito sababu vyakula vingi vya mtaani na supermarket vinaongezwa sukari nyingi, kama tayari una matatizo ya insulin basi nashauri kuacha kutumia aina zote za sukari. Hakikisha matumizi yako ya sukari yasizidi gram 25 kama wewe ni mzima na gram 15 kama una matatizo ya kisukari, presha, uzito mkubwa na kitambi na matatizo yote ya moyo. kama ukinunua chakula asili basi utakuwa umejiepusha na sumu za kuulia wadudu kwenye mazao na unapokula vyakula visivyosindikwa basi utakuwa umeepuka kula sukari. Punguza ulaji wa wanga na badala yake kula mafuta kwa wingi ikiwemo. Parachichi, Nazi na mafuta ya nazi, Siagi iliyotengenezwa maziwa asiili ya Ng’ombe, Karanga mbichi, Nyama kutoka ka mnyama aliyekuzwa kwa kulishwa majani na Mayai.
  • Hakikisha unapika na kuandaa chakula chako jikoni; na inashauriwa kula theluthi moja ya chakula chako kiwe hakijapikwa , epuka upikaji sana wa chakula kwenye joto kali maana unaharibu virutubisho na kutengeneza sumu mwilini, pia hakikisha unajumuisha aina za vyakula vya kupambana na saratani kama Broccoli.
  •  Tumia zaidi vyombo vya udongo kuliko vya plastic kuhifadhia chakula ili kupunguza ulaji wa kemikali zitakazoharibu mfumo wa homoni.
  • Kuvusha mlo/kufunga kula ni njia nzuri kama una matatizo ya insulin ama leptin, kisukari, shinikizo kubwa la damu, na matatizo mengine ya moyo, ila kumbuka kuvusha mlo siyo suluhisho la mda wote, pale homono zako zikiwa vizri basi unaweza kurudia hali yako ya kawaida ya kula vyakula salama.
  • Tumia virutubisho ili kutunza bacteria wazuri walioko kwenye mfumo wako wa chakula ambao wanasaidia kupunguza maambukizi na kuimarisha kinga yako ya mwili.
  • Mazoezi, mazoezi husaidia kupunguza kiasi cha insulin kwenye damu na hivyo kurahisisha kupunguza kwa uzito na kitambi.
  • Vitamin D, husaidia kupunguza hatari ya kupata saratani. Chanzo kizuri cha vitamin D ni kwa kutumia mwanga wa jua.
  • Usingizi, hakikisha pia unapata usingizi wa kutosha . wengi wetu tunahitaji masaa mpaka 8 ya usingizi. Usingizi kidogo basi husababisha uzalishaji mdogo wa homoni ya melatonin na hivyo kupelekea matatizo ya insulin na uzito mkubwa. Pia
  • Epuka msongo wa mawazo

Naamini utakuwa umejifunza vya kutosha basi usisahau kushare pia wenzako, kama una maoni, maswali ama unapenda kupunguza uzito kupitia dawa zetu za mimea basi usisite kuwasiliana nasi kupitia 0762336530 au

Bofya hapa Kuchati na Daktari kwa Whatsapp

 Ofisi zetu zipo Magomeni Mwembechai.
Karibu upate dawa zilizotengenezwa kwa mimea na kuhifadhiwa kiutaalamu Wa hali ya huu. kwa gharama sh 110,000 tu. laki 1 na elfu kumi tu


Usikose kufuatilia makala yetu inayofuata: Jinsi uzito mkubwa na kitambi unavoletekeza bawasili, chukua hatua hizi kuepuka 

Comments

Popular posts from this blog

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, CHANZO NA TIBA YAKE

Uke wa mwanamke hufanya kazi ya kutoa njia kati ya sehemu ya nje ya mwili na viungo vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hali ya kawaida ya majimaji yaliyomo katika uke wa mwanamke huwa ni ya tindikali ili kuzuia maambukizi ya vijidudu wa kuleta maradhi. Hali hii ya utindikali huletwa na bacteria waishio katika uke wa mwanamke. Bacteria hawa ni wa kawaida na hawana madhara kwa mwili. Uke ulio katika hali nzuri hutoa majimaji haya ili kujisafisha. Majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni. Kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kitu cho chote ambacho kitaharibu uwiano wa utengeneaji wa majimaji haya ndani ya uke kinaweza kujenga mazingira ya maambukizi katika uke. Uchafu Wa Sehemu Za Siri  Wa Kawaida Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, ra

JINSI YA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME KWA KUTUMIA VYAKULA HIVI VI 5

Maelezo ya utangulizi. Kichocheo cha testosterone, japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme pia.kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone kupungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. .KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA , KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika, mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzia mwanga wa asubuhi wakati jua ndo linachomoza na pia lile jua la jion karibia na kuzama, hivyo utakubaliana na mimi kuwa wengi wet

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60