Skip to main content

Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake

Nimekuwa Napata kesi nyingi sana kutoka kwa akina mama hasa  wenye umri kuanzia miaka 25 na kuendelea wakihitaji msaada kwenye ndoa zao, maana hawafurahii tendo la ndoa kama vile inavotakiwa. Tatizo linazidi kuongezeka kwa kasi na wengi hawafahamu chanzo cha tatizo hili hivo inakuwa vigumu kulitibu. Leo tutaongelea chanzo cha tatizo na jinsi ya kuepuka na kulitibu ili uendelee kufurahia unyumba. 

 


SABABU ZA KUPATA MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA

    1.       KUVIMBA kwa kuta za uke kutokana na kushambuliwa na fangasi (candida Albicans) au bakteria. Kuta hizi huanza kuwa na vijitundu vidogo vidogo na kadiri muda unavyokwenda bila kutibiwa, vitundu hivi huongezeka ukubwa na kuwa kama vidonda na hatimaye kuta za uke kuanza kumomonyoka na hali hii huondoa kabisa hamu ya kushiriki tendo.
    2.       Matatizo ya shingo ya kizazi (cervical incompetence) kutokana na maambukizi ya fangasi maeneo hayo. Kutoka kwa mbegu za kiume muda mfupi  au saa kadhaa baada ya tendo ni dalili kuu ya tatizo hili. Pia mwanaume anapogonga shingo hii ya kizazi mwanamke huwa kama anatoneshwa kidonda. Hali hii ya mbegu kurudi nje husababisha mwanamke kutoshika ujauzito.
   3. Kuwa na uvimbe kwenye mji wa mimba/mfuko wa uzazi (Uterus). Uvimbe huu kitaalam hujulikana kwa majina mengi lakini `fibroid` ni maarufu Zaidi. Huanza kama mbegu ndogo ya mchicha na hu kua kama boga kubwa. Mwanamke huongezeka ukubwa wa tumbo na baadaye huonekana kama ana mimba kubwa na watu hushangaa kwa nini hajifungui kipindi chote.
    4. Maumivu wakati wa tendo hasa chini ya kitovu huashiria tatizo kwenye mirija ya uzazi. Yawezekana ikawa ni tatizo la mirija ya uzazi kujaa maji machafu kutokana na kuzaliana sana eneo hilo, tatizo ambalo hujulikana kitaalam kama Hyrosalpinx.Kitu hiki husababisha mirija ya uzazi kuziba kwani maji haya huwa mazito, kitu ambacho husababisha mayai ya uzazi na mbegu za kiume kushindwa kupenya. 
Kutoshika mimba kwa mwanamke aliye kwenye ndoa au uhusiano kwa zaidi ya mwaka mmoja na anasikia maumivu ya aina hii ni kiashiria kikubwa cha tatizo hili.Kumbuka matatizo ya uzazi unayokutana nayo kama maumivu makali kipindi cha hedhi, ugumba, kukosa hamu ya tendo la ndoa, kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa, mpangilio mbaya wa hedhi, uzito mkubwa na kitambi  siyo kitu ulichoumbiwa, bali ni matokeo ya Maisha unayoishi .kwa kifupi matatizo yote haya chanzo chake kikubwa ni kuvurugika kwa homoni za kike au hormonal imbalance. Matatizo haya siyo kwamba ni mabadiliko ya vinasaba kutokana na umri, ila ni matokeo ya mpangilio mbovu wa vichocheo ama homoni zako na hasa homoni za uzazi. Hivo utakubaliana nami kwamba wanawake hawajaumbiwa kupata shida hizi zote hata kama umri wako umeenda, unahitaji kuendelea kufurahia tendo la ndoa. Sawazisha mpangilio wako homoni zako na matatizo yote haya utakuwa umeyakimbiza.


DALILI ZIFUATAZO ZINAASHIRIA KUVURUGIKA KWA HOMONI ZAKO.

Hivo unatakiwa kutumia dalili hizi kujifanyia uchambuzi wewe mwenyewe bila hata kufanya vipimo hospitali tayari utagundua kuwa una tatizo kwenye vichocheo ama homoni zako   1.       Uzito kupungua ama kuongezeka bila mpangilio   2.       Tumbo kujaa gesi na kuhisi umeshiba mda mwingi   3.       Maumivu ya kichwa na kujuskia haupo kwenye mood nzuri   4.       Kupata msongo wa mawazo mara kwa mara   5.       Ugumba ama kutoshika mimba kwa kipindi kirefu   6.       Kukosa hamu ya tendo la ndoa ama kupata maumivu makali wakati wat endo la ndoa   7.       Kuhisi mwili umechoka mara kwa mara   8.       Kuota ndevu na nywele kifuani    9.       Kupungua kwa uwezo wa kumbukumbu   10.   Kutokwa jasho jingi usiku na   11.   Ngozi kukakamaa   12.   Kukosa usingizi   13.   Uvimbe kwenye mfuko wa mimba

Baada ya kujifanyia upembuzi juu ya tatizo lako sasa tuangalie nini cha kufanya ili uweze kutibu dalili hizi kuanzia leo ukiwa nyumbani kwako.


ANZIA JIKONI KWAKO (LISHE /CHAKULA NI SEHEMU YA KWANZA YA KUREKEBISHA)

Nataka nikwabie mpenzi msomaji na unayefatilia Makala hizi kwa makini, kwamba vitu tunavyoweka tumboni vianchangia karibu 80% ya kuvurugika kwa mpangilio wa homoni zako. Unatakiwa kuwa mvumilivu maana kusawazisha homoni ni kitu endelevu na kinachukua kuda kutokana na kwamba unajenga tabia mpya kwenye mwili wako. Hivo hatua ya kwanza katika kupangilia lishe na cmlo wako niKuondoa ama kufuta vyakula vambavyo ni hatar kwa mwili wako. Vyakula hivi ni kama sukari, pombe, ngano, na vyakula vilivyosindikwa.unachotakiwa kufahamu ni kwamba chakula kibovu huletekeza kuvurugika kwa vichocheo ama homoni zako, mfano unapokula sikari kwa wing ama vyakula vya sukari mwili mwili kupitia kongosho hutoa insulin kwa wingi ili kubadilisha sukari kuwa mafuta yanayohifadhiwa mwili, mwili pia unazalisha homoni zingine kwa wingi kama estrogen na testosterone. Vyakula vya ngano pia vyenye protin inayoitwa gluten vinaharibu m[pangilio wa homoni zako. Kemikali zinazobaki kwenye vyakula baada ya kupuliza madawa ya kuua wadudu kwenye mimea ni kihatarishi kikubwa cha homoni.


Baada ya kuhakikisha umeondoa vyakula hatarishi ambavyo ni chanzo cha kuvurugika kwa homoni zako sasa unahitaji kuongeza vyakula bora ambavyo vitakusaidia kusawazisha homoni zako. Hakikisha unakula Zaidi vyakula vya mafuta, vyakula visivyokobolewa,

     1.       Tumia virutubisho vya omega 3, zinc , soy power capsules na pine pollen. Unaweza kufika ofsini kwetu ukapata virutubisho hivi bila kupata adha ya kuagiza nje ya nchi.   2.       Kufanya mazoezi, mazoezi husaidia kupunguza kwa kiasi kikubwa matatizo kabla na baada ya hedhi. Fanya mzoezi mepesi unaypenda mfano kutembea umabali mrefu, kukimbia nk.   3.    Epuka msongo wa mawazo, tafuta mazoezi rahisi ya kupunguza na kuepuka msongo wa mawazo kama Yoga, meditation.unaweza kusoma pia kwa kubonyeza HAPA mnimeelza njia nzuri za kupunguza na kudeal na msongo wa mawazo.   4.       Hakikisha unapata usingizi wa kutosha walau masaa 8 mpaka 9 kila siku.   5.       Na pia punguza ama epuka kwa kiasi kikubwa matumizi ya pombe na vidonge


MUHIMU

Kwa wagonjwa wote wanaofika ofsini kwangu huwa nawashauri kufanya utoaji wa sumu kwenye mwili kabla ya kuanza kurekebisha chakula na lishe kwa ujumla. Faida ya kutoa sumu ama detoxification ni kuondoa uchafu na kemikali sumu zilizopo kwenye mwili na hivo kuruhusu mifumo kufanya kazi vizuri. Vyakula na vinywaji tunavyokula huchangia sumu nyingi kwenye mwili na hivo kupeleka kuvurugika kwa mpangilio wa homoni.


TAFITI ZINASEMAJE KUUSU TIBA ZA MIMEA (traditional medicine).

1. Zinc capsules

Kwa wanawake, MADINI YA ZINC yanahusika katika ukuuaji wa yai (oocyte). Kama mwanamke atakuwa na upungufu wa zinc, yai halitakomaa vizuri na utolewaji wa yai (ovulation) utazuiliwa , na kusababisha ugumba. Kiwango cha zinc cha kutosha kunamwezesha mwanamke kutumia estrogen na progesterone vizuri na hivo kupusha matatizo kama maumivu wakati wa tendo la ndoa, na hokosa hamu ya tendo la ndoa. hakikisha unapata virutubisho kutoka kwenye vyanzo vilivyothibitishwa.

2. Soy capsules


vidonge hivi vilivyotengenezwa kiasili kwa kutumia viambata vya mimea ya Semen Glycine, Radiz Paeoniae Alba Eztractum na Ganoderma husaidia: kuongeza ufanyaji kazi wa mfuko wa mayai (ovaries), kuzuia Saratani ya matiti, kuimarisha afya ya mifupa kwa wanawake waliokoma hedhi.(menopause). 


Jaribu 30 Female care Package yetu

Ambayo inagarimu sh 150,000/= tu laki 1 na 50 tu.  Hapa tutakupatia  virutubisho  vya asili viwili vinavyotumika kwa mda wa week 4. Vitakuacha mwili ukiwa safi bila sumu na homoni zako zimesawazishwa. Kisha utafurahia tena tendo la ndoa kama zamani.

Tunapatikana Magomeni Mwembechai. Kwa wale wa mikoani msipate hofu tutawatumia dawa.

Tiba ni tsh 150,000/=

Bofya hapa Kuchati na Daktari kwa whatsapp


Comments

Popular posts from this blog

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, CHANZO NA TIBA YAKE

Uke wa mwanamke hufanya kazi ya kutoa njia kati ya sehemu ya nje ya mwili na viungo vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hali ya kawaida ya majimaji yaliyomo katika uke wa mwanamke huwa ni ya tindikali ili kuzuia maambukizi ya vijidudu wa kuleta maradhi. Hali hii ya utindikali huletwa na bacteria waishio katika uke wa mwanamke. Bacteria hawa ni wa kawaida na hawana madhara kwa mwili. Uke ulio katika hali nzuri hutoa majimaji haya ili kujisafisha. Majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni. Kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kitu cho chote ambacho kitaharibu uwiano wa utengeneaji wa majimaji haya ndani ya uke kinaweza kujenga mazingira ya maambukizi katika uke. Uchafu Wa Sehemu Za Siri  Wa Kawaida Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, ra

JINSI YA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME KWA KUTUMIA VYAKULA HIVI VI 5

Maelezo ya utangulizi. Kichocheo cha testosterone, japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme pia.kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone kupungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. .KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA , KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika, mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzia mwanga wa asubuhi wakati jua ndo linachomoza na pia lile jua la jion karibia na kuzama, hivyo utakubaliana na mimi kuwa wengi wet

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60