Skip to main content

ANGINA PECTORIS NI NINI??

Haya ni maumivu ambayo huyapata kifuani na kukunyima amani kutokana na misuli ya moyo kukosa kiasi cha damu yenye oxygen. Kwa kawaida huu sio ugonjwa bali ni dalili ya magonjwa ya coronary heart diseases.
DALILI ZA MTU MWENYE ANGINA PECTORIS
Dalili ya kwanza ya mtu mwenye tatizo la moyo{coronary heart disease} ni angina pectori. Maumivu ya kifua kuanzia katikati kuelekea mkono wa kushoto, maumivu ya shingo na hatimaye kwenye taya bila kusahau mgongo, dalili nyingine ni kichefuchefu, kutapika,moyo kwenda mbio sana kuvuja jasho kwa wingi baada ya mwendo kasi wa moyo.
AINA ZA ANGINA PECTORIS
Stable angina pectoris: aina hii ndio ujitokeza mara nyingi zaidi ya zingine. Hali huwa mbaya tu unapokuwa unafanya kazi au mazoezi au kitu chochote kinachoweza sababisha moyo kufanya kazi kwa nguvu. Hali hutulia au kurudi katika hali ya kawaida unapopumzika. haina maana kwamba kuna shambulio la moyo bali ni taarifa kuwa wakati wowote hali inaweza kuwa mbaya.
Unstable angina: hali hii haina mpangilio na hujitokeza wakati wowote. Haiwezi kutulizwa na kupumzika kama ilivyokuwa kwa stable angina, Na hata dawa haiwezi kutuliza hali hii. Aina hii ni hatari sana kwani hali hii inapojitokeza huduma ya haraka inahitajika. kwani huwa ni ashirio la shambulio la moyo ambalo linaweza kutokea wakati wowote.
Variant angina: Aina hii hutokea mara chache sana na haswa asubuhi, ukiwa umepumzika na usiku wa manane. Tatizo hili haliwezi kutatuliwa na pumzika au kutumia dawa.
Microvascular angina: aina hii ni hatari sana maumivu makali sana na ya muda mrefu. Kwa hali hii huwa ni vigumu sana kutulizwa na dawa.
Kumbuka kuwa sio kila maumivu unayoyasikia kifuani ni angina bali unaweza kuwa na matatizo mengine kama vile
Pulmonary ambolism{kuzba kwa artery za mapafu}
Maambukizi kwenye mapafu.
Aortic dissection{kuchanika kwa mishipa mikubwa}
Hypertrophic cardiomyopathy{kuathirika kwa misuli ya moyo}
Pericarditis{kuvimba nyama iuzungukayo moyo kwa ndani}
Panic attack
Angina ni ishara tosha kuwa damu inaenda kiasi kidogo sana. Na mtiririko wake kwenye misuli ya moyo haukidhi mahitaji. Shambulio la angna huongezewa na mazoezi au hali inaosababisha moyo kufanya kazi zaidi na hata misongo pia huchangia. Coronary heart disease inawezapelekea shambulio la moyo. Kutokana na damu kuzuiwa eidha kwa mishipa kupungua kipenyo au kuganda kwa damu. Shambulio la damu ambalo husababishwa na kufa kwa misuli ya moyo myocardium muscles kutokana na hawe ya oxygen na viinilishe kufika kiasi kidogo sana. Ifahamike kuwa moja ya tatu ya watu wenye shambulio la moyo hufariki dunia kutokana na kupuuzia dalili za awali.
CHANZO
Chanzo kikuu cha matatizo haya ni mrundikano mkubwa wa mafuta ya cholesterol kwenye damu na mishipa ya moyo. Hali hii utokana na matumizi makubwa ya vyakula vyenye mafuta{saturated fat}nyama, maziwa na mayai ni chanzo kikuu bila kusahau dawa za mpango wa uzazi. Hali ya kurithi pia imekuwa chanzo, uvutaji wa sigara, shinikizo la damu, uzito mkubwa na watu wasiofanya mazoezi au kazi za kukaa kwa muda mrefu. Mwanzoni ilifahamika kuwa ugonjwa huu ulikuwa unawashambulia wanaume zaidi lakin tafti za hivi karbuni idadi iko sawa japokuwa wanawake uchelewa kuupata mpaka hormone ya estrogen itakapopungua kuzalishwa.
USHAURI
Kama unapata dalili zisizo za kawaida basi muone dactari mapema kwa ushauri na tiba.
Imetolewa na Mkumbo health.
Kama tayari unasumbuliwa na tatizo na umejaribu tiba bila manufaa, hakikisha unafika ofsini kwetu hapa Dar es salaam , Magomeni Mwembechai upate huduma ya tiba ya mimea kwa gharama ya sh 120,000/= laki 1 na elfu ishirini tu

Tupigie namba 0762336530.
 kama upo mkoani basi ondoa shaka maana utatumiwa dawa baada ya kufanya malipo.

Comments

Popular posts from this blog

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, CHANZO NA TIBA YAKE

Uke wa mwanamke hufanya kazi ya kutoa njia kati ya sehemu ya nje ya mwili na viungo vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hali ya kawaida ya majimaji yaliyomo katika uke wa mwanamke huwa ni ya tindikali ili kuzuia maambukizi ya vijidudu wa kuleta maradhi. Hali hii ya utindikali huletwa na bacteria waishio katika uke wa mwanamke. Bacteria hawa ni wa kawaida na hawana madhara kwa mwili. Uke ulio katika hali nzuri hutoa majimaji haya ili kujisafisha. Majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni. Kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kitu cho chote ambacho kitaharibu uwiano wa utengeneaji wa majimaji haya ndani ya uke kinaweza kujenga mazingira ya maambukizi katika uke. Uchafu Wa Sehemu Za Siri  Wa Kawaida Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, ra

JINSI YA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME KWA KUTUMIA VYAKULA HIVI VI 5

Maelezo ya utangulizi. Kichocheo cha testosterone, japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme pia.kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone kupungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. .KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA , KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika, mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzia mwanga wa asubuhi wakati jua ndo linachomoza na pia lile jua la jion karibia na kuzama, hivyo utakubaliana na mimi kuwa wengi wet

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60