Skip to main content

JINSI YA KURUDISHA KINGA ZA MWILI KWA UYOGA







Kwa kawaida kinga ya mwili ndiyo kila kitu kinachouendesha mwili hasa katika kuulinda usishambuliwe na magonjwa ya aina mbalimbali.
Mara zote kinga ya mwili inapokuwa juu basi siyo rahisi mtu kuugua hasa magonjwa madogo madogo na hata makubwa pia.

JE, NITAJUAJE KAMA KINGA YA MWILI WANGU IMESHUKA?
Watu wengi huwa wamekariri kuwa mtu ambaye kinga ya mwili wake imeshuka ni mgonjwa wa muathirika Ukimwi, Hii dhana siyo ya kweli kabisa, sasa leo kupitia makala hii utajua mtu ambaye kinga yake ya mwili imeshuka anakuwaje.
Kwa kifupi ni watu wengi sana ambao kinga yao ya mwili imeshuka ila hawajitambui lakini wanaishia kulalamika kuwa wanaumwa matatizo mbalimbali.

Sasa ukiwa na matatizo au dalili zifuatazo basi tambua kabisa kuwa kinga yako ya mwili imeshuka na unaweza kuchukua tahadhari mapema.

1. Ukiwa unaugua mara kwa mara hata kama ni mafua au homa yoyote basi jua kuwa kinga yako ya mwili ipo chini.

2. Mwili kuwa na uchovu au kujisikia kuchoka mara kwa mara

3. Maumivu ya kiuno na mgongo mara kwa mara.

4. Kukosa usingizi hadi kufikia hatua ya kumeza vidonge vya usingizi ndipo unalala.

5. Kuwa na Ugonjwa wa Kisukari. Mgonjwa yeyote wa Kisukari kinga yake ya huwa ipo chini na ndo maana mtu yeyote mwenye tatizo hili huweza kuandamwa na magonjwa mengi sana.

6. Kwenda Hospitali ukiwa unaumwa lakini ukifanyiwa vipimo unaambiwa huna ugonjwa wowote japo wewe unajisikia kuumwa.

Na matatizo mengi yanayoambatana na hayo ikiwemo Wanaume wengi kuishiwa nguvu za kiume, Wanawake kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa, wanawake/wasichana wengi Kuugua magonjwa ya njia za mkojo kwa muda mrefu(UTI sugu).

MAMBO YA KUZINGATIA
-Epuka ulaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi, vyakula vilivyokaangwa, vilivyokobolewa, vyakula vya kwenye makopo(vyakula vinavyotengenezwa viwandani), uvutaji wa sigara, unywaji wa pombe, ulaji wa chips mara kwa mara, upigaji punyeto kwa wanaume n.k

Pia kula sana mboga za majani, matunda, samaki, nyama nyeupe, fanya mazoezi ya mwili, ugali wa dona, kunywa maji mengi, kula chakula kwa mpangilio kwa kuzingatia Lishe.

Hivyo basi, endapo tayari una hizo baadhi ya dalili za kupungukiwa kinga mwilini, tunakushauri usihangaike kutumia dawa zingine zozote, kwani tiba yako wewe ni kutumia uyoga mwekundu. Uyoga huu ambao wataalamu wanasema tangu zamani ulikuwa ukitumika katika matibabu ya kupunguza uzito, lakini utafiti wa sasa unaonyesha kuwa Uyoga huo ni mzuri mno katika KUREFUSHA MAISHA. Na maisha yanarefushwa na kutumia kinga imara.
Utafiti huo kuhusu Uyoga mwekundu ni kwa mujibu wa watafiti wa Chuo Kikuu cha Chang Gung.

Sasa utaupataje huo uyoga mwekundu?
Uyoga huu unapatikana nchini China pekee, sasa huku kwetu Afrika haupo. Lakini Wataalamu kutoka marekani wameweza kuutengeneza uyoga huu katika mfumo wa vidonge ili iwe rahisi kupatikana popote.

Vidonge hivi vinakuwa 60 katika package moja na unavitumia kwa muda wa siku 15  tu na kuufanya mwili wako kuwa imara.

Vidonge hivyo pia vinawasaidia sana wagonjwa wa Kisukari, Presha na hata watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi kwani hupandisha sana kiwango cha kinga ya mwili na CD4.
Hata vijana walioathirika na upigaji wa punyeto dawa hii ni nzuri sana kwao kwani hurejesha madini muhimu ambayo yamepotea mwilini.

Upatikanaji wa vidonge hivi ni rahisi tu kwani unaweza kuvipta popote ulipo kwa gharama ya sh 75 elfu tu. OFISI ZETU ZINAPATIKANA NDANI YA CHINGA COMPLEX, KARUME DAR SALAAM.
 wasiliana nasi kwa namba   whatsap/text, ama email: elifasimkumbo@gmail.com.

Bofya hapa kuchati na Dakari kwa whatsapp

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUGUNDUA NA KUTHIBITI VIDONDA VYA TUMBO( PEPTIC ULCER)

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Tunashukuru kwa kuendelea kufatilia makala zetu, kwa maoni na ushauri ama uhitaji wa kufika ofisini basi endelea kutuandikia kwa namba  0714206306 .  Kupata ufahamu mpana juu ya vidonda vya tumbo ni vema kuelewa kwanza mfumo unaohusika na tumbo ambao ni umen'genyaji wa chakula. Sehemu kuu zinazohusika katika umen'genyaji huo ni kinywa,umio ambayo ni misuli wenye urefu wa sentimeta 23 ambao huunganisha koromeo na tumbo'esophagus',mfuko wa nyongo na sehemu ya mwanzo ya utumbo mdogo'duodenum',utumbo mdogo,kongosho,utumbo mpana na sehemu ya mwish oni ya utumbo'rectum'. Mfumo wa mmen'genyo wa chakula hasa kuta za umio,tumbo na utumbo mwembamba hupata mmomonyoko ambao husababishwa na tindikali inayotumika kumen'genya chakula inaposhambulia kuta hizo, hii ndiyo vidonda vya tumbo'Peptic Ulcers',vidonda vya mfumo wa umen'genyaji chakula vikiwa kwenye tumbo ni 'Gastric Ulcer'vikiwa kati...

Kisonono ni nini ?, je kuna Tiba ya kisonono ?

Nini maana ya kisonono, je naweza kupata tiba sahihi ya kisonono?  Soma makala jii upate kujifunza na kupata ueewa juu ya tatizo la kisonono ambalo limeathiri watu wengi sana kwa sasa hasa vijana wa kiume. Kisonono au kwa lugha ya kitaalamu Gonorrhea ni moja ya ugonjwa wa ngono ambao huambukizwa baada ya mtu mmoja mwenye ugonjwa kukutana kimwili mtu mwingine mzima. Kisonono mara nyingi husababisha maumivu makali na dalili zingine mbaya kwenye via vya uzazi na sehemu zingine kama, sehemu ya haja kubwa, macho na pia maumivu ya viungo. Ugonjwa huu wa kisonono huweza kuwapata watu wa jinsia zote wanawake kwa wanaume huku tafiti zikionesha kwamba wanaume ndio wanaoongoza kuambukizwa kuliko wanawake. Nnini husababisha kinonono au Gonorrhea?? Ugonjwa huu wakuambukizwa kwa njia ya ngono husababishwa na bacteria wanaoitwa Neisseria gonorrhoeae. Na hivo pale watu wanapokutana kingono bacteria hawa huweza kusambaa kwenda kwa mtu mwingine kutokana na msuguano wa viungo laini vya uza...

UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE

 FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST ) Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst. Uvimbe huu unaweza kumtokea mwanamke wa umri wowote ingawa mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito. MAYAI YA MWANAMKE  Kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto. Mayai haya hupatikana pembezoni mwa mfuko wa uzazi (uterus). Mayai haya huanza kuzalisha mayai ya uzazi yanayojulikana kama ovum  ambapo mayai hayo ya uzazi hukuwa ndani ya mayai ya mwanamke (ovary) kwa kuchochewa na baadhi ya homoni.  Katikati ya mwezi, siku ya kumi na nne, saa 24-36 baada ya kiwango cha kichocheo aina ya Luteinizing Hormone kuwa juu, mayai ya uzazi hutolewa k...