Skip to main content

JINSI YA KURUDISHA KINGA ZA MWILI KWA UYOGA







Kwa kawaida kinga ya mwili ndiyo kila kitu kinachouendesha mwili hasa katika kuulinda usishambuliwe na magonjwa ya aina mbalimbali.
Mara zote kinga ya mwili inapokuwa juu basi siyo rahisi mtu kuugua hasa magonjwa madogo madogo na hata makubwa pia.

JE, NITAJUAJE KAMA KINGA YA MWILI WANGU IMESHUKA?
Watu wengi huwa wamekariri kuwa mtu ambaye kinga ya mwili wake imeshuka ni mgonjwa wa muathirika Ukimwi, Hii dhana siyo ya kweli kabisa, sasa leo kupitia makala hii utajua mtu ambaye kinga yake ya mwili imeshuka anakuwaje.
Kwa kifupi ni watu wengi sana ambao kinga yao ya mwili imeshuka ila hawajitambui lakini wanaishia kulalamika kuwa wanaumwa matatizo mbalimbali.

Sasa ukiwa na matatizo au dalili zifuatazo basi tambua kabisa kuwa kinga yako ya mwili imeshuka na unaweza kuchukua tahadhari mapema.

1. Ukiwa unaugua mara kwa mara hata kama ni mafua au homa yoyote basi jua kuwa kinga yako ya mwili ipo chini.

2. Mwili kuwa na uchovu au kujisikia kuchoka mara kwa mara

3. Maumivu ya kiuno na mgongo mara kwa mara.

4. Kukosa usingizi hadi kufikia hatua ya kumeza vidonge vya usingizi ndipo unalala.

5. Kuwa na Ugonjwa wa Kisukari. Mgonjwa yeyote wa Kisukari kinga yake ya huwa ipo chini na ndo maana mtu yeyote mwenye tatizo hili huweza kuandamwa na magonjwa mengi sana.

6. Kwenda Hospitali ukiwa unaumwa lakini ukifanyiwa vipimo unaambiwa huna ugonjwa wowote japo wewe unajisikia kuumwa.

Na matatizo mengi yanayoambatana na hayo ikiwemo Wanaume wengi kuishiwa nguvu za kiume, Wanawake kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa, wanawake/wasichana wengi Kuugua magonjwa ya njia za mkojo kwa muda mrefu(UTI sugu).

MAMBO YA KUZINGATIA
-Epuka ulaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi, vyakula vilivyokaangwa, vilivyokobolewa, vyakula vya kwenye makopo(vyakula vinavyotengenezwa viwandani), uvutaji wa sigara, unywaji wa pombe, ulaji wa chips mara kwa mara, upigaji punyeto kwa wanaume n.k

Pia kula sana mboga za majani, matunda, samaki, nyama nyeupe, fanya mazoezi ya mwili, ugali wa dona, kunywa maji mengi, kula chakula kwa mpangilio kwa kuzingatia Lishe.

Hivyo basi, endapo tayari una hizo baadhi ya dalili za kupungukiwa kinga mwilini, tunakushauri usihangaike kutumia dawa zingine zozote, kwani tiba yako wewe ni kutumia uyoga mwekundu. Uyoga huu ambao wataalamu wanasema tangu zamani ulikuwa ukitumika katika matibabu ya kupunguza uzito, lakini utafiti wa sasa unaonyesha kuwa Uyoga huo ni mzuri mno katika KUREFUSHA MAISHA. Na maisha yanarefushwa na kutumia kinga imara.
Utafiti huo kuhusu Uyoga mwekundu ni kwa mujibu wa watafiti wa Chuo Kikuu cha Chang Gung.

Sasa utaupataje huo uyoga mwekundu?
Uyoga huu unapatikana nchini China pekee, sasa huku kwetu Afrika haupo. Lakini Wataalamu kutoka marekani wameweza kuutengeneza uyoga huu katika mfumo wa vidonge ili iwe rahisi kupatikana popote.

Vidonge hivi vinakuwa 60 katika package moja na unavitumia kwa muda wa siku 15  tu na kuufanya mwili wako kuwa imara.

Vidonge hivyo pia vinawasaidia sana wagonjwa wa Kisukari, Presha na hata watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi kwani hupandisha sana kiwango cha kinga ya mwili na CD4.
Hata vijana walioathirika na upigaji wa punyeto dawa hii ni nzuri sana kwao kwani hurejesha madini muhimu ambayo yamepotea mwilini.

Upatikanaji wa vidonge hivi ni rahisi tu kwani unaweza kuvipta popote ulipo kwa gharama ya sh 75 elfu tu. OFISI ZETU ZINAPATIKANA NDANI YA CHINGA COMPLEX, KARUME DAR SALAAM.
 wasiliana nasi kwa namba   whatsap/text, ama email: elifasimkumbo@gmail.com.

Bofya hapa kuchati na Dakari kwa whatsapp

Comments

Popular posts from this blog

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, CHANZO NA TIBA YAKE

Uke wa mwanamke hufanya kazi ya kutoa njia kati ya sehemu ya nje ya mwili na viungo vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hali ya kawaida ya majimaji yaliyomo katika uke wa mwanamke huwa ni ya tindikali ili kuzuia maambukizi ya vijidudu wa kuleta maradhi. Hali hii ya utindikali huletwa na bacteria waishio katika uke wa mwanamke. Bacteria hawa ni wa kawaida na hawana madhara kwa mwili. Uke ulio katika hali nzuri hutoa majimaji haya ili kujisafisha. Majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni. Kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kitu cho chote ambacho kitaharibu uwiano wa utengeneaji wa majimaji haya ndani ya uke kinaweza kujenga mazingira ya maambukizi katika uke. Uchafu Wa Sehemu Za Siri  Wa Kawaida Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, ra

JINSI YA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME KWA KUTUMIA VYAKULA HIVI VI 5

Maelezo ya utangulizi. Kichocheo cha testosterone, japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme pia.kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone kupungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. .KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA , KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika, mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzia mwanga wa asubuhi wakati jua ndo linachomoza na pia lile jua la jion karibia na kuzama, hivyo utakubaliana na mimi kuwa wengi wet

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60