Skip to main content

KUKOSA USINGIZI (INSOMNIA/SLEEPLESS NIGHT)


Kwa kawaida mtumzima anatakiwa kulala masaa7-8 kwa usiku mzima. Lakini kunawatu hushindwa kulala kabisa au hulala kwa masaa machache sana kutokana na sababu mbalimbali.

KUKOSA USINGIZI(INSOMNIA) ni tatizo la kukosa usingizi japokuwa unafursa ya kuweza kulala,tatizo hili linaweza kuwa nilamuda mfupi au nila muda mrefu yani tatizo sugu ambapo mtu hushindwa kulala au kupata usingizi mzuri kw a miezi sita(6)au zaidi. Tatizo hili husababishwa na mambo mbalimbali lakini zaidi nitazungumzia jinsi tatizo hili linayosababisha kwa kuwa  na UPUNGUFU WA MELATONIN HORMONE.

Melatonini hormone ni vichocheo vinavyo tengenezwa au kutolewa na pineal gland, homoni hizi husaidia kuucontrol mzunguko wetu wa kawaida wa kulala na kuamka, hurekebisha saa ya mwili(biological clock) hivyo ukiwa na hormone hizi za kutosha utaweza kulala usingizi mzuri wala hautachukua muda mrefu sana kitandani pasipo kupata usingizi kama hauna shughuli maalumu ya kufanya.
Melatonini hormone  hupunguzwa uzalishwazi wake kwa asilimia 10%- 15% kila baada mtu akifikia umri wa miaka 35 na kuendelea.

SABABU ZINGINE ZINAZOSABABISHA KUKOSA USINGIZI
sababu ziko nyingi sana zikiwemo;
~Magonjwa hapa ni magonjwa mbalimbali kama Miguu kuwaka moto,pumu,shinikizo la damu,matatizo ya moyo,kipanda uso na kuwashwa au mzio.
~Baadhi ya matibabu hii inahusisha matumizi ya baadhi ya dawa Kali zenye kemikali
~Upungufu wa hormone za kijinsia estrogen
~Msongo wa mawazo
~Ugomvi na kelele
~Mazingira
~Kuishi au kufanya kazi za usiku  katika mazingira yenye mwanga kwa muda mrefu hii huathiri sana.

ATHARI ZA KUKOSA USINGIZI
~Uchovu wa mwili au kuhisi mwili hauna nguvu.
~ kuwa na hasira au mkali bila sababu za msingi.
~Maamuzi mabovu
~Kupoteza kumbukumbu au kusahau sahau.
~kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi
~Kupatwa na magonjwa ya shinikizo la damu au kisukari n.k

MATIBABU
~Badili mfumo wako wa maisha hapa ni katika ulaji wa vyakula pendelea kula zaidi vitu asilia kama mboga za majani na matunda na punguza vyakula au vinywaji vyenye caffein.
~Kunywa maji kwa wingi
~Tumia Asali mbichi vijiko viwili usiku
~ weka mazingira mazuri ya mtu kulala
~Tumia dawa zinazo fanya uwe na hormone za melatonin kama mafuta ya lavender

Mafuta ya Eucalyptus



Kwa miaka ya hivi karibuni mafuta ya Eucalyptus yamekuwa ni kitu adimu na cha kuaminika zaidi kutokana na uwezo wake kukukinga dhidi ya matatizo ya neva.
Matumizi: kupunguza msongo wa mawazo na kutengeneza usingizi mzuri. Weka mafuta ya Eucalyptus kwenye kopo la kupuliza (diffuser) kisha pulizia kwenye chumba cha kulala. Unaweza kupuliza jioni katika eneo la kupumzika kabla ya kwenda kitandani, pia unaweza kupaka kwenye ngozi nyuma ya masikio, kwenye pua na kwenye mto wako wa kulalia.
Mafuta haya asili (natural) yasiyo na kemikali yanapatikana Ofsini kwetua gharama ya Tsh 20,000/=

Bofya hapa Kuchati na Muhudumu Whatsapp uagize Mafuta ya Eucalyptus

au Piga simu namba 0746672914

Hakikisha tu una utayari maana watu wengi wamekiwa wakifurahia huduma zetu wakitupa shukurani nyingi kutokana na kwamba dawa zimeweza kuwatoa kwenye jela ya maradhi yaliyowatesa kwa mda mrefu. 

Comments

Popular posts from this blog

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, CHANZO NA TIBA YAKE

Uke wa mwanamke hufanya kazi ya kutoa njia kati ya sehemu ya nje ya mwili na viungo vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hali ya kawaida ya majimaji yaliyomo katika uke wa mwanamke huwa ni ya tindikali ili kuzuia maambukizi ya vijidudu wa kuleta maradhi. Hali hii ya utindikali huletwa na bacteria waishio katika uke wa mwanamke. Bacteria hawa ni wa kawaida na hawana madhara kwa mwili. Uke ulio katika hali nzuri hutoa majimaji haya ili kujisafisha. Majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni. Kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kitu cho chote ambacho kitaharibu uwiano wa utengeneaji wa majimaji haya ndani ya uke kinaweza kujenga mazingira ya maambukizi katika uke. Uchafu Wa Sehemu Za Siri  Wa Kawaida Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, ra

JINSI YA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME KWA KUTUMIA VYAKULA HIVI VI 5

Maelezo ya utangulizi. Kichocheo cha testosterone, japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme pia.kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone kupungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. .KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA , KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika, mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzia mwanga wa asubuhi wakati jua ndo linachomoza na pia lile jua la jion karibia na kuzama, hivyo utakubaliana na mimi kuwa wengi wet

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60