Skip to main content

UNACHOTAKIWA KUFAHAMU KUUSU SHINIKIZO LA DAMU.(Bp)

Je una shaka kuusu shinikizo lako la damu? Je upo kwenye usalama ama hatari??, kama unamaswali mengi juu ya presha ya damu basi hauko peke ako, watu wengi wanaishi bila kufahamu shinikizo lao la damu, nashauri kama unahitaji kuwa na afya nzuri basi hakikisha unafahamu kiwango cha presha yako ya damu.
KWANN NI MUHIMU KUFAHAMU
Presha ya damu iliyo ya kawaida ni kipimo kizuri cha afya ya moyo.
Kiwango cha damu kinachosukumwa na pia uwezo mzuri wa mishipa ya damu kutanuka na kusinyaa.hivo presha ya damu inaweza kuongezeka endapo kuna kiwango kikubwa cha damu ama mishipa haiwezi kutanuka vizuri, hali hii ni ya kawaida kwani hutokea sana pale mtu anapofanya mazoezi, tatizo linakuja endapo hali hii ikawa ni ya mwendelezo.. Hapo moyo unahitaji kufanya kazi kubwa sana ili kufanya damu iendelee kutembea mwili.  
Kikawaida Namba mbili hutumika kupima presha ya damu, systolic na diastolic.
Kama systolic ni 120-139 mmHg na diastolic ni 80-89mmHg basi upo kwenyq hatari ya kupata
shinikizo kubwa la damu.
KAMA SHINIKIZO LAKO NI KUBWA BASI FAHAMU KUWA KUNA NJIA NYINGI ZA KUPUNGUZA UKIWA NYUMBANI KWAKO
1.       SHUUGULISHA MWILI NA FANYA MAZOEZI ZAIDI YA KUTEMBEA
Mazoezi ni moja ya silaha kubwa katika kurekebisha shinikizo lako la damu na level ya homini ya insulin. Panga kutembea hatua kuanzia 7000 mpaka 10000 kwa siku.
2.       Epuka msongo wa mawazo
3.       Usitumie vyakula na vinywaji vilivyosindikwa; vyakula vingi vilivyosindikwa vina sukari nyingi, chunvi na mafuta mabaya vyote hivi vinaathiri shinikizo lako la damu kwa kiasi kikubwa
4.       Hakikisha unapata vkiwango kizuri cha vitamin D, kwa kupata mwanga mwingi wa jua.
5.       Lishe yenye matunda na mboga mboga pia husaidia kusawazisha shinikizo lako la damu.

Ukiwa na maoni ama unahitaji tiba basi wasiliana nasi kwa ujumbe mfupi ama whatsapp kupitia namba 

0714206306 

. uweze kupata maelekezo ya kufika ofsini kwetu ambapo tutakupa huduma ya virutubisho na dawa ya kupunguza shunikizo la damu kwa sh 140,000 /= tu

 kama upo mkoani basi ondoa shaka maana utatumiwa dawa baada ya kufanya malipo.


Soma Makala inayofuata: Uzito Mkubwa na kitambi ni Tishio. Hupelekea magonjwa kama kisukari, presha na upungufu wa nguvu za kiume

Comments