Skip to main content

UNACHOTAKIWA KUFAHAMU KUUSU SHINIKIZO LA DAMU.(Bp)

Je una shaka kuusu shinikizo lako la damu? Je upo kwenye usalama ama hatari??, kama unamaswali mengi juu ya presha ya damu basi hauko peke ako, watu wengi wanaishi bila kufahamu shinikizo lao la damu, nashauri kama unahitaji kuwa na afya nzuri basi hakikisha unafahamu kiwango cha presha yako ya damu.
KWANN NI MUHIMU KUFAHAMU
Presha ya damu iliyo ya kawaida ni kipimo kizuri cha afya ya moyo.
Kiwango cha damu kinachosukumwa na pia uwezo mzuri wa mishipa ya damu kutanuka na kusinyaa.hivo presha ya damu inaweza kuongezeka endapo kuna kiwango kikubwa cha damu ama mishipa haiwezi kutanuka vizuri, hali hii ni ya kawaida kwani hutokea sana pale mtu anapofanya mazoezi, tatizo linakuja endapo hali hii ikawa ni ya mwendelezo.. Hapo moyo unahitaji kufanya kazi kubwa sana ili kufanya damu iendelee kutembea mwili.  
Kikawaida Namba mbili hutumika kupima presha ya damu, systolic na diastolic.
Kama systolic ni 120-139 mmHg na diastolic ni 80-89mmHg basi upo kwenyq hatari ya kupata
shinikizo kubwa la damu.
KAMA SHINIKIZO LAKO NI KUBWA BASI FAHAMU KUWA KUNA NJIA NYINGI ZA KUPUNGUZA UKIWA NYUMBANI KWAKO
1.       SHUUGULISHA MWILI NA FANYA MAZOEZI ZAIDI YA KUTEMBEA
Mazoezi ni moja ya silaha kubwa katika kurekebisha shinikizo lako la damu na level ya homini ya insulin. Panga kutembea hatua kuanzia 7000 mpaka 10000 kwa siku.
2.       Epuka msongo wa mawazo
3.       Usitumie vyakula na vinywaji vilivyosindikwa; vyakula vingi vilivyosindikwa vina sukari nyingi, chunvi na mafuta mabaya vyote hivi vinaathiri shinikizo lako la damu kwa kiasi kikubwa
4.       Hakikisha unapata vkiwango kizuri cha vitamin D, kwa kupata mwanga mwingi wa jua.
5.       Lishe yenye matunda na mboga mboga pia husaidia kusawazisha shinikizo lako la damu.

Ukiwa na maoni ama unahitaji tiba basi wasiliana nasi kwa ujumbe mfupi ama whatsapp kupitia namba 

0714206306 

. uweze kupata maelekezo ya kufika ofsini kwetu ambapo tutakupa huduma ya virutubisho na dawa ya kupunguza shunikizo la damu kwa sh 140,000 /= tu

 kama upo mkoani basi ondoa shaka maana utatumiwa dawa baada ya kufanya malipo.


Soma Makala inayofuata: Uzito Mkubwa na kitambi ni Tishio. Hupelekea magonjwa kama kisukari, presha na upungufu wa nguvu za kiume

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUGUNDUA NA KUTHIBITI VIDONDA VYA TUMBO( PEPTIC ULCER)

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Tunashukuru kwa kuendelea kufatilia makala zetu, kwa maoni na ushauri ama uhitaji wa kufika ofisini basi endelea kutuandikia kwa namba  0714206306 .  Kupata ufahamu mpana juu ya vidonda vya tumbo ni vema kuelewa kwanza mfumo unaohusika na tumbo ambao ni umen'genyaji wa chakula. Sehemu kuu zinazohusika katika umen'genyaji huo ni kinywa,umio ambayo ni misuli wenye urefu wa sentimeta 23 ambao huunganisha koromeo na tumbo'esophagus',mfuko wa nyongo na sehemu ya mwanzo ya utumbo mdogo'duodenum',utumbo mdogo,kongosho,utumbo mpana na sehemu ya mwish oni ya utumbo'rectum'. Mfumo wa mmen'genyo wa chakula hasa kuta za umio,tumbo na utumbo mwembamba hupata mmomonyoko ambao husababishwa na tindikali inayotumika kumen'genya chakula inaposhambulia kuta hizo, hii ndiyo vidonda vya tumbo'Peptic Ulcers',vidonda vya mfumo wa umen'genyaji chakula vikiwa kwenye tumbo ni 'Gastric Ulcer'vikiwa kati...

Kisonono ni nini ?, je kuna Tiba ya kisonono ?

Nini maana ya kisonono, je naweza kupata tiba sahihi ya kisonono?  Soma makala jii upate kujifunza na kupata ueewa juu ya tatizo la kisonono ambalo limeathiri watu wengi sana kwa sasa hasa vijana wa kiume. Kisonono au kwa lugha ya kitaalamu Gonorrhea ni moja ya ugonjwa wa ngono ambao huambukizwa baada ya mtu mmoja mwenye ugonjwa kukutana kimwili mtu mwingine mzima. Kisonono mara nyingi husababisha maumivu makali na dalili zingine mbaya kwenye via vya uzazi na sehemu zingine kama, sehemu ya haja kubwa, macho na pia maumivu ya viungo. Ugonjwa huu wa kisonono huweza kuwapata watu wa jinsia zote wanawake kwa wanaume huku tafiti zikionesha kwamba wanaume ndio wanaoongoza kuambukizwa kuliko wanawake. Nnini husababisha kinonono au Gonorrhea?? Ugonjwa huu wakuambukizwa kwa njia ya ngono husababishwa na bacteria wanaoitwa Neisseria gonorrhoeae. Na hivo pale watu wanapokutana kingono bacteria hawa huweza kusambaa kwenda kwa mtu mwingine kutokana na msuguano wa viungo laini vya uza...

UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE

 FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST ) Uvimbe kwenye mayai ya mwanamke (ovary) hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu ambao hupatikana ndani ya mayai ya mwanamke ndio unaojulikana kama ovarian cyst. Uvimbe huu unaweza kumtokea mwanamke wa umri wowote ingawa mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito. MAYAI YA MWANAMKE  Kwa kawaida mwanamke anakuwa na mayai mawili katika mwili wake. Yai moja upande wa kulia na yai jingine upande wa kushoto. Mayai haya hupatikana pembezoni mwa mfuko wa uzazi (uterus). Mayai haya huanza kuzalisha mayai ya uzazi yanayojulikana kama ovum  ambapo mayai hayo ya uzazi hukuwa ndani ya mayai ya mwanamke (ovary) kwa kuchochewa na baadhi ya homoni.  Katikati ya mwezi, siku ya kumi na nne, saa 24-36 baada ya kiwango cha kichocheo aina ya Luteinizing Hormone kuwa juu, mayai ya uzazi hutolewa k...