Skip to main content

TIBA ASILI KWA VIDONDA VYA TUMBO NA KUONDOA MADHARA YA TINDIKALI AU KIUNGULIA.

MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO

Kwanza kabisa katika mada hii napenda tufahamu kwamba miili yetu imeumbwa ikiwa na vimeng’enyaji ambavyo husaidia kuvunja vunja chakula ili kiweze kusagwa, vimeng’enyaji hivi vipo kuanzia mdomoni na njia yote ambapo chakula kinapita hadi kwenye utumbo mdogo ambapo ufyonzaji wa viini lishe hufanyika. Moja ya kimeng’enyaji  kinachopatikana tumboni ni asidi ama tindikali  inayoitwa hydrochloric acid ( HCL) .Asidi hii humwagwa juu ya chakula ili kurahisisha usagaji wa chakula tumboni. Kupanda kwa tindikali ni tatizo kubwa kiafya, ambalo linathiri watu wengi sana
Nafkiri mpenzi msomaji kuna wakati umewah kupatwa na hii hali kwamba unapocheua basi unaona kama kuna maji maji yenye uchachu yanapanda kutoka tumboni adi kwenye koromeo, kitendo hichi ndicho tunaita KIUNGULIA. Hapo zamani  ilifahamika kwamba tatzo hili hutokana na wingi wa tindikali tumboni ndio maana wagonjwa hupewa dawa zinazohuisha asidi hiyo.

NINI KINACHOSABABISHA KIUNGULIA??

Chakula kinapopita kutoka kwenye tumbo dogo (esophagus) na kuingia kwenye mfuko mkubwa wa tumbo basi valve za chini hufunga ili kuzuia chakula na tindikali  visirudi tena, na ndio maana hata mtu akila mda huo huo ukamuweka miguu juu mikono chini chakula hakitoki. Kiungulia hutokea pale misuli midigo au valve zinaposinyaa na kuruusu aside iliyopo tumboni  kurudi mpaka kwenye tumbo dogo (esophagus) .
Lakini ni muhimu sana kufahamu  kwamba tatizo la kurudi  kwa tindikali halisababishwi na wingi wa tindikali kwenye tumbo ila ni dalili zinazoletekezwa na
·         Madhara ya bacteria waitwao Helicobacter pylori(H.pylori)  inakadiriwa kuwa zaidi ya nusu ya watu duniani wameathiriwa na H.pylori

JE UNAPATA MADHARA KUTOKANA NA MATUMIZI VIDONGE???
kama kiungulia chako kinasababishwa na dawa unazomeza  basi  jibu ni kwamba namna ya kujikinga kiungulia ni kuwa makini jinsi unavotumia vidonge, lini unatumia na pia unatumiaje vidonge au dawa hizo. Hakikisha usiongeze tena vidonge vingine kwa ajili ya kuhuisha hali hiyo pale inaposababishwa na matumizi ya dawa. Hizi ni baadhi ya njia ambazo zitaweza kukusaidia kupunguza makali ya kiungulia
1.       Epuka kutumia dozi zaidi ya ile uliyoshauriwa na dactari
2.       Baadhi ya dawa ni vizuri zikamezwa tumbo likiwa tupu halina chakula na zingine humezwa hata tumbo likiwa na chakula, hivyo hakikisha unasoma kwanza maelezo kwenye kipeperushu ndani ya dawa au muulize dactari au muhudumu akupe ushauri jinsi na lini kuweza kutumia dawa
3.       Muulize dactari au muhudumu kupiia dawa na virutubisho vyote unavyotumia kama vinasababisha kiungulia
4.       Tumia chai ya Tangawizi.
TIBA YAKO YA KWANZA NI VYAKULA VYA ASILI AMBAVYO HAVIJASINDIKWA
Siri kubwa ambayo itakusaidia kutatua tatizo la kiungulia na asidi ni kurudisha matumizi ya vyakula vya asili ili kufanya tumbo liweze kufanya kazi katika hali yake ya kawaida. Ukweli ni kwamba matumizi makubwa ya vyakula vilivyosindikwa  na sukari ni njia isiyopingika kabisa iko wazi kwamba inasababisha kiungulia na tindikali kuwa nyingi kutokana na kitendo hicho kuvuruga mpangilio wa bacteria wazuri waliopo tumboni na kwenye utumbo.
Badala yake hakikisha unatumia zaidi mbogamboga na vyakula vingine visivyosindikwa vilivyo na ubora, Epuka vyakula  na vinywaji vyenye Caffeine,pombe, na nicotine. 
Kitu kingine cha muhimu hakikisha unatengeneza bacteria wengi wazuri kutoka kwenye mlo wako. , Hii itasaidia kutengeneza mazingira ya asili kwa ajili ya umeng’enyaji wa chakula na pia kusaidia kuondoa bacteria wabaya wanaosababisha vidonda vya tumbo ambao huitwa H.pylori bila hata kutumia dawa.Pia ulaji wa vyakula vya asili unasaidia kurahisisha usagaji wa chakula na ufyonzaji wa viini lishe katika damu.
NJIA ZINGINE AMBAZO NI SALAMA NA ZA UHAKIKA KATIKA KUTIBU TATIZO LA KIUNGULIA  NA KUPANDA KWA TINDIKALI YA TUMBONI.
1.       CHAI YA TANGAWIZI, tangawizi inajulikana kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuua bacteria na kutatua tatizo la asidi kujaa tumboni. Changanya vipande viwili au vitatu vya tangawizi vilivyopongwa ndani ya vikombe  viwili vya maji ya moto kasha acha kwa nusu saa kasha kunywa dakika 20 au 30 kabla ya mlo wako. 
2.       VITAMINI D, vitamin D ni muhimu katika kutatua athari zozote zile ndani ya mwili, unaweza kupata vitamin D kwa kupata mwanga wa jua la asubuhi au la jioni, kwa kupata usingizi mzuri. Lakini kutokana na kuwa unaweza kuwa bize na kazi zako basi tutakupatia kirutubisho cha asili kabisa, hakikisha unapomaliza kusoma makala hii tuma msg kwenye namba hii 0762336530
.
3.       GLUTAMINE, tafiti zilizofanyika mwaka 2009 zinaonyesha kwamba matatizo mengi ya tumbo yanayosababishwa na bacteria wa H.pylori yanahusishwa na upungufu  amino aside inayoitwa Glutamine ambayo hupatikana kwenye vyakula vingi kama nyama, kuku, samaki, mayai, na baadhi ya matunda na mbogamboga.
4.       VITAMINI B9 (FOLIC ACID) NA VITAMINI B ZINGINE, Tafiti zinasema vitamin B zinapunguza uwezekano wa kupanda kwa tindikali. Matumizi mazuri ya Folic acid basi yanweza kupinguza hali ya kiungulia kwa karibu 40%
5.       JUISI YA ALOE VERA,  mmea wa aloe unafahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kuponya vidonda vya tumbo na kuondoa tatizo la mrundikano wa tindikali na gesi tumboni. Kunywa vikombe viwili vya juisi ya aloce vera kabla ya kula chakula. ANGALIZO cyo kila mmea wa Aloe vera una dawa inayotakiwa ndani yake kuna aina baadhi ya mimea ya dawa. Kama huwezi kupata mmea huo basi  tutakupatia kirutumbisho  kilichopo katika mfumo wa vidonge. Usitumie dawa zenye sumu.

HITIMISHO
MADHARA YATOKANAYO NA TINDIKALI TUMBONI HUPELEKEAMATATIZO MAKUBWA KAMA  KANSA , JOINTS NA MATATIZO  MENGINE YA UZAZI MF UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME  PALE AMBAPO TATIZO HAITATIBIWA MAPEMA.
Kwa maoni  ushauri na TIBA  ya matatizo yatokanayo na asidi tumboni kama vidonda vya tumbo,  na pia magonjwa mengine yote ya kitabia kama UTI,FANGASI, UVIMBE NA MATATIZO YA UZAZI KWA MWANAMKE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, NA MENGINE usisite kutuandikia

Pia kama una matatizo ya mfumo wa chakula basi wasiliana nasi tukupatie virutubisho kwa gharama ya sh 150,000/=. dawa hizi zinatumika kwa week 4, zikisafisha na kutibu maradhi ya mfumo wa chakula ikiwemo bawasili, tumbo kujaa gesi, kukosa choo na vidonda vya tumbo.

Wasiliana na wahudumu wetu kwa namba 

0714206306

  upate maelekezo ya kufika ofisini.

Tiba ni Tsh 150,000/=



Utapata dawa zisizo na kemikali  zilizo katika mfumo wa vidonge. Pia share makala hii kama unawapenda marafiki zako na ndugu.
kama upo mkoani basi ondoa shaka maana utatumiwa dawa baada ya kufanya malipo.

Bofya hapa Kuchati na Daktari kwa Whatsapp


Usiache kufuatilia makala mpya: Hatua za kufanya unapopata hajakubwa yenye damu.



Comments

Popular posts from this blog

KUTOKWA NA UCHAFU UKENI, CHANZO NA TIBA YAKE

Uke wa mwanamke hufanya kazi ya kutoa njia kati ya sehemu ya nje ya mwili na viungo vya uzazi vya ndani vya mwanamke. Hali ya kawaida ya majimaji yaliyomo katika uke wa mwanamke huwa ni ya tindikali ili kuzuia maambukizi ya vijidudu wa kuleta maradhi. Hali hii ya utindikali huletwa na bacteria waishio katika uke wa mwanamke. Bacteria hawa ni wa kawaida na hawana madhara kwa mwili. Uke ulio katika hali nzuri hutoa majimaji haya ili kujisafisha. Majimaji haya yanayotengenezwa katika uke na kwenye eno la cervix hufanya kazi ya kuondoa seli zilizokufa na bacteria waharibifu nje ya mwili na huu ndio uchafu wa kawaida ambao mwanamke hutoa ukeni. Kutoa uchafu huu sehemu za siri ni njia ya kuusafisha uke na kuzuia maambukizi ya magonjwa. Kitu cho chote ambacho kitaharibu uwiano wa utengeneaji wa majimaji haya ndani ya uke kinaweza kujenga mazingira ya maambukizi katika uke. Uchafu Wa Sehemu Za Siri  Wa Kawaida Wanawake wote hutoa uchafu sehemu za siri. Kiwango cha uchafu unaotoka, ra

JINSI YA KUONGEZA UFANISI WA VICHOCHEO VYA KIUME (TESTOSTERONE) NA KUKINGA DHIDI YA MATATIZO YATOKANAYO NA KUKUA KWA TEZI DUME KWA KUTUMIA VYAKULA HIVI VI 5

Maelezo ya utangulizi. Kichocheo cha testosterone, japo huusishwa zaidi na upande wa mwananume ni muhimu kwa afya ya pande zote mbili yaani mwanamke na mwanamme pia.kadiri umri unavoenda mbele basi kiwango cha uzalishaji wa kichocheo cha testerone kupungua, kupungua kwa kichocheo hiki kunaambatana na ukuaji wa tezi dume (prostate gland),kupotea kwa nywele na pia saratani mfano saratani ya tezi dume. .KAZI KUBWA YA KICHOCHEO HIKI NI KUONGEZA MSUKUMO NA HAMU YA TENDO LA NDOA , KUIMARISHA MISULI NA MIFUPA MWILINI. NINI KINAHITAJIKA ILI KUZALISHA KICHOCHEO CHA TESTOSTERONE? Ili kuhakikisha uzalishaji wa kichocheo cha kiume unafanyika, mwili unahitaji virutubisho au viini lishe mbalimbali, baadhi ya viini lishe hivyo ni madini ya ZINC na vitamin D3,  vitamini D inaweza kuzalishwa na mwili pale ngozi yako inapokutana na mwanga wa jua, hapa nazungumzia mwanga wa asubuhi wakati jua ndo linachomoza na pia lile jua la jion karibia na kuzama, hivyo utakubaliana na mimi kuwa wengi wet

MADHARA YA PUNYETO NA TIBA YAKE

MAELEZO  YA AWALI KUHUSU TATIZO LA UPIGAJI PUNYETO Watu wengi sana wanataka kufahamu jinsi gani wafanye ili kuachana na kitendo cha upigaji punyeto. Punyeto ni tendo la mtu la kuamsha hisia za mapenzi au msisimko ambao unampelekea mtu huyu kufikia kilele cha kujimalizia tamaa zake! Bila kufanya tendo halisi, hutumia fikra zake katika picha za zinazoitwa za ngono au picha zozote zinazoweza kulifanikisha tendo hilo, movie n.k. Kilele cha yote anafikia mahali anajimalzia tamaa zake mwenyewe!. Nimekuwa nikiona baadhi ya watu wanaosema wameelimika wakipingana wao kwa wao katika suala zima la kupiga punyeto! Wako wanaotetea kutokana na elimu yao na wanasema kwa ujasiri mkubwa kwamba "kupiga punyeto ni sehemu ya maisha ya mwanadamu" Ina maana katika maisha ya mwanadamu upigaji punyeto inaelezwa ni kama tendo la lazima mpaka inafikia mahali wanasema ni sehemu ya maisha (Maisha) ya mwanadamu. Nimekuwa nikipata kesi nyingi sana juu ya madhara yatokanayo na punyeto. Aslimia 60